News & Updates

CHUO KIKUU MZUMBE CHAWAFIKIA WANAFUNZI WA SEKONDARI KUELEZA FURSA ZA ELIMU
Chuo Kikuu Mzumbe kupitia Kitengo cha Udahili pamoja na Kitengo cha Mawasiliano na Masoko kimetembelea Shule ya Sekondari Bwawani iliyopo Wilaya ya Chalinze, Mkoa wa Pwani, na Shule ya Sekondari Sokoine Memorial iliyopo Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro. Ziara hii imelenga kuwaelimisha wanafunzi kuhusu fursa mbalimbali za elimu zinazopatikana …
Read More
WADAU WA MAZINGIRA NA UJASIRIAMALI WAKUTANA CLIMATHON MOROGORO
Katika jitihada za kutafuta suluhisho bunifu kwa changamoto za tabianchi, wadau wa mazingira, wajasiriamali na wataalamu wa sekta mbalimbali wamekutana katika Jukwaa la Ubunifu wa suluhisho endelevu kwa changamoto za Tabianchi (CLIMATHON) ambalo linawezesha vijana kubuni na kuendeleza mawazo kwa maendeleo endelevu. Tukio hilo limekuwa fursa kwa wabunifu chipukizi kubuni …
Read More
MZUMBE YAWAELIMISHA WATOA HUDUMA WAKE UMUHIMU WA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA
Chuo Kikuu Mzumbe, kupitia Skuli ya Biashara, kimeandaa mafunzo maalumu kuhusu Huduma kwa Wateja na Usimamizi wa Utoaji wa Huduma Bora, yaliyofanyika tarehe 26 Machi 2025 Kampasi Kuu Morogoro. Mafunzo haya yamewaleta pamoja washiriki kutoka sekta mbalimbali kwa lengo la kuboresha ufanisi wa utoaji wa huduma kwa wateja na kujenga …
Read More
WAFANYAKAZI NDAKI YA MBEYA WANOLEWA KATIKA WARSHA YA UJUZI KATIKA KUTOA USHAURI WA KITAALAMU
Ikiwa ni katika utekelezaji wa jukumu mojawapo la wanataaluma wa Chuo Kikuu Mzumbe ambalo ni Kutoa Ushauri Kitaaluma, Kurugenzi ya Huduma za Jamii imeandaa na kuendesha warsha ya siku mbili ya ujuzi katika utoaji ushauri upande wa wanataaluma. Warsha hii ya siku mbili imeanza kutolewa kwa wanataaluma wa Ndaki ya …
Read More
WAFANYAKAZI MZUMBE KUISAIDIA JAMII KWA KUTOA SHAURI ZA KITAALUMA
Wafanyakazi wa Chuo Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Dar es Salaam, wamesisitiza dhamira yao ya kusaidia jamii kwa kutoa shauri za kitaaluma zinazolenga kuboresha maendeleo ya jamii na sekta mbalimbali. Haya yalibainika katika mafunzo ya uandishi wa ushauri za kitaaluma yaliyofanyika 21 Machi 2025, katika Ndaki hiyo jijini Dar es Salaam. …
Read More
MAFUNZO KWA VITENDO YA MFUMO WA OFISI MTANDAO, MFUMO WA BARUAPEPE NA UZINGATIAJI WA SHERIA YA MATUMIZI SAHIHI YA MIFUMO TUMIZI YA TEHAMA KWA TAASISI ZA UMMA YAHITIMISHWA
Chuo Kikuu Mzumbe chenye Mkataba wa Makubaliano na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) wa kutoa mafunzo ya mifumo tumizi ya TEHAMA nchini kwa Taasisi za Umma, kimeendesha mafunzo kwa vitendo ya mfumo wa Ofisi Mtandao na Mfumo wa Barua pepe za Serikali kwa watumishi wa Umma kwa kada za Afisa …
Read More
CHUO KIKUU MZUMBE CHATOA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WA KIFEDHA KWA MAFUNDI KATA YA MZUMBE
Chuo Kikuu Mzumbe kupitia Skuli ya Biashara kimeendesha mafunzo maalum ya uwezeshaji wa kifedha kwa mafundi wa fani mbalimbali katika Kata ya Mzumbe. Mafunzo haya ni sehemu ya juhudi za chuo kurudisha kwa jamii (Corporate social responsibility)kwa kuhakikisha wananchi wananufaika moja kwa moja na maarifa yanayotolewa chuoni hapo. Akifungua mafunzo …
Read More
WANAWAKE WAHAMASISHWA KUVISHINDA VIKWAZO KATIKA MASUALA YA UONGOZI NA UTAFITI
Haya yalisemwa tarehe 18 machi kwenye warsha iliyoandaliwa na Chuo Kikuu Mzumbe, Kampasi Kuu Morogoro, ambapo wanawake kutoka sekta mbalimbali walikusanyika kwa lengo moja: kuvishinda vikwazo vinavyowazuia kufanikiwa katika masuala ya uongozi na utafiti. Warsha yenye kaulimbiu “Kuvunja Vikwazo: Kuchochea Hatua kwa Wanawake katika Masuala ya Uongozi na Utafiti” iliwaleta …
Read More
MZUMBE KUIMARISHA USHIRIKIANO NA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA
Katika kuendeleza dhima ya kuimarisha Ushirikiano na Mahusiano ya Kitasnia, Chuo Kikuu Mzumbe kimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano na Chama cha Wafugaji Tanzania. Hafla ya utiaji saini imefanyika tarehe 18 Machi 2025, Kampasi Kuu Morogoro ikijumuisha viongozi wa Chuo Kikuu Mzumbe na viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania. Akizungumza …
Read More
BW. JUMA ZUBERI HOMERA AFANIKIWA KUTETEA TASNIFU YAKE YA UZAMIVU CHUO KIKUU MZUMBE
Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamivu, Bw. Juma Zuberi Homera, ameandika historia muhimu katika safari yake ya kitaaluma baada ya kutetea kwa mafanikio tasnifu yake ya Uzamivu (PhD), Utetezi wa tasnifu hiyo umefanyika leo tarehe 17 Machi 2025, Kampasi Kuu ya Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro. Bw. Homera amefanya utetezi tasnia yake …
Read More
CHUO KIKUU MZUMBE CHASHIRIKI KIKAO CHA TATHMINI YA MRADI WA HEET KITAIFA
Chuo Kikuu Mzumbe kimeshiriki katika kikao cha tathmini ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) kati ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Waratibu wa Mradi wa HEET kutoka Taasisi 22 za Elimu ya Juu nchini Tanzania. Kikao hiki kinalenga kupokea na kujadili maendeleo ya …
Read More
WAHADHIRI WA SKULI YA BIASHARA CHUO KIKUU MZUMBE WATOA ELIMU YA FURSA ZA MASOMO KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI
Wahadhiri kutoka Skuli ya Biashara ya Chuo Kikuu Mzumbe wamefanya ziara maalumu katika Shule za Sekondari Morogoro na Kola Hill kwa lengo la kuwaelimisha wanafunzi kuhusu fursa za masomo zinazotolewa chuoni hapo, hususan katika kozi za Ujasiriamali na Masoko. Wahadhiri hao walitoa elimu kuhusu umuhimu wa elimu ya biashara katika …
Read More
WATUMISHI WAPYA WAPIGWA MSASA MATUMIZI YA MIFUMO YA TEHAMA
Chuo Kikuu Mzumbe kimetoa mafunzo elekezi kwa watumishi wake wapya, wakiwemo wale waliopata ajira mpya na waliokaribishwa kupitia uhamisho kutoka taasisi nyingine, ili kuwajengea uelewa kuhusu taratibu za utumishi wa umma na matumizi sahihi ya mifumo ya TEHAMA inayotumika Serikalini. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Mkurugenzi wa Kitengo …
Read More
KUIMARISHA UWEZO WA KITAIFA WA UFUATILIAJI NA TATHMINI INACHAGIZA DIRA YA MAENDELEO 2050, DKT. MILANZI.
Miaka 25 ijayo itafafanuliwa na Dira ya Maendeleo ya Tanzania (TDV) – 2050. TDV 2050 haitabadilisha tu sera za kitaifa, bali pia itatoa mwongozo wa utekelezaji wa mipango ya taasisi, sekta mbalimbali, mikakati na miradi ya maendeleo. Haya yamesemwa tarehe 26 Februari 2025 na Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya …
Read More
SEMINA YA KUENDELEZA UWEZO WA TATHMINI TANZANIA 2025: MUSTAKABALI WA TATHMINI
Chuo Kikuu Mzumbe kimeshiriki katika uandaaji wa Semina ya Kuendeleza Uwezo wa Tathmini Tanzania 2025: Mustakabali wa Tathmini, semina hii imefanyika katika Chuo Kikuu cha Ardhi Dar es Salaam, Tanzania kuanzia tarehe 25 hadi 27 Februari 2025. Tukio muhimu limewaleta pamoja watunga sera, watafiti, wasomi na wataalamu wa maendeleo kujadili …
Read More
WAJUMBE WA MENEJIMENTI YA MZUMBE WANOLEWA KATIKA USIMAMIZI WA UNUNUZI WA UMMA KUPITIA MFUMO WA NeST
Wajumbe wa Menejimenti ya Chuo Kikuu Mzumbe wameanza rasmi mafunzo maalumu ya siku tatu yanayohusu Usimamizi wa Sheria ya Ununuzi wa Umma (PPA), Matumizi ya Mfumo wa NeST (National e-Procurement System) na Usimamizi wa Mikataba. Akifungua mafunzo hayo Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Allen Mushi amewataka washiriki kuzingatia mafunzo …
Read More
PROF. MWEGOHA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI KAMPASI MPYA - TANGA
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa Kampasi mpya ya Chuo hicho katika Wilaya ya Mkinga Mkoa wa Tanga. Prof. William Mwegoha ameyasema hayo leo Februari 26, 2025 mara baada ya kufanya ziara ya kikazi ya kukagua maendeleo na hatua za …
Read More
MWANAFUNZI WA MZUMBE BI. PRISILA KESSY AIBUKA KIDEDEA TUZO ZA TEHAMA 2025
Mwanafunzi wa masomo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kutoka Chuo Kikuu Mzumbe Bi. Prisila Emmanuel Kessy ameibuka mshindi na kutwaa tuzo mbili za ubunifu kwenye masuala ya TEHAMA zilizoandaliwa na Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kupitia Tume ya TEHAMA. Katika hafla ya ugawaji wa tuzo hizo …
Read More
CHUO KIKUU MZUMBE CHAWAJENGEA UWEZO WANAFUNZI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI
Chuo Kikuu Mzumbe kupitia Taasisi ya Taaluma za Maendeleo (IDS) chini ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), kimeandaa warsha kuhusu mabadiliko ya tabianchi. Warsha hii imefanyika Kampasi Kuu, Morogoro, tarehe 12 Februari 2025, kwa ajili ya kuongeza uelewa wa jamii kuhusu athari za mabadiliko ya …
Read More
CHUO KIKUU MZUMBE CHAKABIDHI VIFAA VYA KUTENGENEZA MAUDHUI MTANDAONI KWA TAASISI ZISIZO ZA KISERIKALI (LEVO NA MOROGORO PARALEGAL CENTRE)
Chuo Kikuu Mzumbe kupitia Mradi wa Kuimarisha utoaji wa Huduma za Msaada wa Kisheria kupitia Maudhui mafupi ya KITEHAMA hii leo umekabidhi vifaa vyenye thamani ya takriban Milioni Thelathini kwa taasisi ya Legal Vision Organisation (LEVO) ya Lushoto - Tanga) na Morogoro Paralegal Centre (MPLC -Morogoro) katika hafla iliyofanyika Wilaya …
Read More
CHUO KIKUU MZUMBE MSHINDI WA PILI, TUZO ZA WALIPA KODI BORA KWA MWAKA 2023/24 MOROGORO
Chuo Kikuu Mzumbe mshindi wa pili, tuzo za walipa kodi bora kwa mwaka 2023/2024 divisheni ya walipa kodi wakubwa. Tuzo hizo zimetolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania jana 08/02/2025 katika Hotel ya Morena - Morogoro. Tuzo hiyo imepokelewa na Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Allen Mushi.
Read More
CHUO KIKUU MZUMBE CHAFANYA KONGAMANO LA WANAFUNZI WA USIMAMIZI WA MIFUMO YA AFYA
Chuo Kikuu Mzumbe kupitia Idara ya Usimamizi wa Mifumo ya Afya iliyopo chini ya Skuli ya Utawala wa Umma na Menejimenti kimeandaa kongamano la mwisho wa muhula (End-of-Semester Student Forum) kwa ajili ya wanafunzi wa idara hiyo. Kongamano hilo lililenga kuwaunganisha wanafunzi na kuwaelimisha kuhusu masuala mbalimbali ya kitaaluma na …
Read More
WANAFUNZI WA CHUO KIKUU MZUMBE WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA)
Chuo Kikuu Mzumbe kupitia Kitivo cha Sayansi za Jamii kimewezesha wanafunzi wa mwaka wa pili wa Shahada ya Sayansi ya Uchumi (Bachelor of Science in Economics) kushiriki katika ziara ya mafunzo katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA). Ziara hiyo ilihusisha wanafunzi kutoka katika programu tatu za shahada ambazo …
Read More
KAMATI YA UENDESHAJI WA MRADI WA HEET YAKAGUA UJENZI NDAKI YA TANGA
Kamati ya Uendeshaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) Chuo Kikuu Mzumbe imefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa ndaki mpya ya Tanga. Ziara hiyo iliongozwa na Naibu Mratibu wa Mradi wa HEET Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Hawa Tundui, ambaye alisema kuwa kamati imefanya …
Read More
WANAFUNZI WA CHUO KIKUU MZUMBE WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO KIWANDA CHA SUKARI MKULAZI
Chuo Kikuu Mzumbe kupitia Skuli ya Biashara, (SoB) kimewezesha wanafunzi wa mwaka wa pili wa Shahada ya Kwanza ya Ununuzi na Mnyororo wa Usambazaji kufanya ziara ya mafunzo katika Kiwanda cha Sukari Mkulazi Holding Company, kilichopo Mbigiri, Wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro. Ziara hiyo, iliyofanyika tarehe 30 Januari 2025, chini …
Read More
CHUO KIKUU MZUMBE CHASHIRIKI UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA
Chuo Kikuu Mzumbe kimeungana na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria 2025 kwa kushiriki kikamilifu kutoa elimu na ushauri kwa wananchi katika masuala mbalimbali ya kisheria. Uzinduzi wa maadhimisho haya umefanyika tarehe 25 Januari 2025 kwa matembezi ya aina yake yaliyoanzia Kituo Jumuishi …
Read More
MZUMBE MBIONI KUANZISHA KAMPASI MWANZA
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha amesema Mzumbe iko mbioni kuanzisha Kampasi mpya Mkoani Mwanza. Prof. Mwegoha ameyasema hayo tarehe 13 Januari 2025 mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda. Amesema Chuo kimepata ekari 221 katika Wilaya ya …
Read More
KONGAMANO LA TAALUMA ZA MAENDELEO LAANGAZIA MAHITAJI YA DUNIA INAYOBADILIKA
Chuo Kikuu Mzumbe kwa kushirikiana na UDOM, SUA, UDSM na MUHAS kimeandaa Kongamano la Tatu la Kitaifa la Taaluma za Maendeleo ili kujadili mwelekeo wa maendeleo ya kijamii yaliyopita, ya sasa na yajayo, ili kukidhi mahitaji ya dunia inayokabiliwa na changamoto za teknolojia na mabadiliko ya tabianchi. Akifungua rasmi kongamano …
Read More
RAIS MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA KATIKA UONGOZI KWENYE MAHAFALI YA 23 YA CHUO KIKUU MZUMBE MKOANI MOROGORO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi ya Chuo Kikuu Mzumbe ambapo katika hotuba yake amesema kuwa kiongozi ni mtumishi anayeendeleza ya jana, anayebuni, kuibua na kutekeleza ya leo na akaacha ya kuendelezwa kwa ajili ya kesho. …
Read More
24TH CONVOCATION ANNUAL GENERAL MEETING
You are cordially invited to attend 24th Convocation Annual Meeting which will be held o 23rd November 2024,At Mzumbe Main Campus Morogoro
Read More
DKT. SHEIN APOKEA TAARIFA YA MAENDELEO YA CHUO KIKUU MZUMBE
Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe na Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein amepokea taarifa ya maendeleo ya Chuo iliyowasilishwa na Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. William Mwegoha leo tarehe 06 Novemba, 2024 Zanzibar. Katika kuwasilisha taarifa hiyo …
Read More
WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA, PROF. ADOLF MKENDA AKUTANA NA MWENYEKITI WA BARAZA NA MENEJIMENTI YA CHUO KIKUU MZUMBE
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda akutana na Mwenyekiti wa Baraza na Menejimenti ya Chuo Kikuu Mzumbe. Kikao hiki kimefanyika tarehe 01 Novemba 2024, Mkoani Dodoma.
Read More
MZUMBE NA IORA KUIBUA FURSA ZA KIUCHUMI, UHIFADHI RASILIMALI BAHARI
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza Khamis ameitaka jamii kuwa mstari wa mbele katika kutoa elimu ya kutunza na kuhifadhi mazingira ili kuwa na kizazi chenye uelewa na kuthamini mazingira hususan uchumi wa bluu. Ameyasema hayo leo tarehe 22/10/2024 wakati wa ufunguzi …
Read More
WITO WA KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha tayari amejiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Kaulimbiu ya Uchaguzi huo ni "Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze kushiriki Uchaguzi"
Read More
UNDP RESIDENT REPRESENTATIVE VISITS MZUMBE UNIVERSITY TO FOSTER COLLABORATION
On September 25, 2024, the United Nations Development Programme (UNDP) Resident Representative, Mr. Shigeki Komatsubara, made a significant visit to Mzumbe University (MU) Main Campus, signaling a growing partnership between the university and UNDP aiming at advancing professional competencies and nurturing talents to youth in Tanzania who can manipulate the …
Read More
CHUO KIKUU MZUMBE YATWAA TUZO MBILI KATIKA KONGAMANO LA KIMATAIFA NCHINI KYRGYZSTAN
Chuo Kikuu Mzumbe kimeendelea kung'ara kwenye jukwaa la kimataifa baada ya kutwaa tuzo mbili za maandiko bora katika Kongamano la 6 la Kimataifa la Utekelezaji na Mnyororo wa Ugavi kwa Afrika (ACOSCM) lililofanyika Bishkek, Kyrgyzstan. Kongamano hilo liliandaliwa na Shirika la Kuehne Foundation na liliwaleta pamoja wataalamu wa ugavi kutoka …
Read More
CHUO KIKUU MZUMBE CHASAINI HATI YA MAKUBALIANO NA USHIRIKIANO NA CHUO KIKUU CHA BONN
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha amesema Mzumbe iko tayari kushirikiana na wadau wengine wa ndani na nje ya nchi katika kubadilishana uzoefu katika maeneo ya taaluma na tafiti. Prof. Mwegoha amesema hayo leo Agosti 14, 2024 wakati wa hafla ya kusaini hati ya makubaliano kati ya …
Read More
MCHANGO WA ELIMU YA JUU KATIKA KUIMARISHA SEKTA YA KILIMO
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. William Mwegoha ameelezea Mchango wa Sekta ya Elimu ya juu katika kuimarisha sekta ya Kilimo katika maendekeo endelevu. Prof. Mwegoha amefafanua hayo leo katika mahojiano ya moja kwa moja kupitia EFM na TVE Tanzania kupitia kipindi cha Joto la Asubuhi leo tarehe 08 …
Read More
RAIS SAMIA AAHIDI KUUNGA MKONO JITIHADA ZA MAENDELEO CHUO KIKUU MZUMBE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan,ameahidi kuendelea kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Menejimenti ya Chuo Kikuu Mzumbe katika kukiendeleza chuo hicho kwa kutumia fedha za makusanyo ya ndani kuanzisha miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa majengo mapya na upanuzi wa kampasi zake ili …
Read More
MKUU WA WILAYA YA TANGA ATOA RAI KWA WANANCHI KUJIENDELEZA KIELIMU KUPITIA CHUO KIKUU MZUMBE
Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mheshimiwa James Kaji amewaalika wakazi wa Mkoa wa Tanga kutembelea banda la Chuo Kikuu Mzumbe katika maadhimisho ya Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayoendelea kwenye Viwanja vya Shule ya Popatlal Jijini Tanga ili kupata uelewa wa kozi na huduma nyinginezo zinazotolewa na Chuo hicho …
Read More
APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO VARIOUS DIPLOMA AND CERTIFICATE PROGRAMMES FOR THE 2024/2025 ACADEMIC YEAR
Mzumbe University invites applications from qualified Tanzanians and non-Tanzanians for admission into various Certificate and Diploma programmes offered by the University for the 2024/2025 academic year. The university offers eight (8) Certificate Programmes and seven (7) Diploma Programmes. Three (3) of the seven (7) Diploma Programmes are offered at the …
Read More
CALL FOR APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO POSTGRADUATE PROGRAMMES FOR THE 2024/2025 ACADEMIC YEAR
The Directorate of Research, Publications and Postgraduate Studies (DRPS), Mzumbe University invites applications for admission to the postgraduate programmes (Masters and Doctoral degree Programmes) for the 2024/2025 academic year from qualified candidates. NB: THE APPLICATION WINDOW FOR MASTER’S DEGREE PROGRAMMES WILL OPEN ON 22ND APRIL, 2024 AND THE DEADLINE FOR …
Read More

Recent News

CHUO KIKUU MZUMBE CHAWAFIKIA WANAFUNZI WA SEKONDARI KUELEZA FURSA ZA ELIMU
CHUO KIKUU MZUMBE CHAWAFIKIA WANAFUNZI WA SEKONDARI KUELEZA FURSA ZA ELIMU
March 29, 2025, 2 p.m.
WADAU WA MAZINGIRA NA UJASIRIAMALI WAKUTANA CLIMATHON MOROGORO
WADAU WA MAZINGIRA NA UJASIRIAMALI WAKUTANA CLIMATHON MOROGORO
March 29, 2025, 1:57 p.m.
MZUMBE YAWAELIMISHA WATOA HUDUMA WAKE UMUHIMU WA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA
MZUMBE YAWAELIMISHA WATOA HUDUMA WAKE UMUHIMU WA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA
March 28, 2025, 9:57 a.m.
WAFANYAKAZI NDAKI YA MBEYA WANOLEWA KATIKA WARSHA YA UJUZI KATIKA KUTOA USHAURI WA KITAALAMU
WAFANYAKAZI NDAKI YA MBEYA WANOLEWA KATIKA WARSHA YA UJUZI KATIKA KUTOA USHAURI WA KITAALAMU
March 24, 2025, 7:09 p.m.
WAFANYAKAZI MZUMBE KUISAIDIA JAMII KWA KUTOA SHAURI ZA KITAALUMA
WAFANYAKAZI MZUMBE KUISAIDIA JAMII KWA KUTOA SHAURI ZA KITAALUMA
March 24, 2025, 7:05 p.m.
MAFUNZO KWA VITENDO YA MFUMO WA OFISI MTANDAO, MFUMO WA BARUAPEPE NA UZINGATIAJI WA SHERIA YA MATUMIZI SAHIHI YA MIFUMO TUMIZI YA TEHAMA KWA TAASISI ZA UMMA YAHITIMISHWA
MAFUNZO KWA VITENDO YA MFUMO WA OFISI MTANDAO, MFUMO WA BARUAPEPE NA UZINGATIAJI WA SHERIA YA MATUMIZI SAHIHI YA MIFUMO TUMIZI YA TEHAMA KWA TAASISI ZA UMMA YAHITIMISHWA
March 23, 2025, 8:52 a.m.
CHUO KIKUU MZUMBE CHATOA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WA KIFEDHA KWA MAFUNDI KATA YA MZUMBE
CHUO KIKUU MZUMBE CHATOA MAFUNZO YA UWEZESHAJI WA KIFEDHA KWA MAFUNDI KATA YA MZUMBE
March 21, 2025, 8:44 a.m.
WANAWAKE WAHAMASISHWA KUVISHINDA VIKWAZO KATIKA MASUALA YA UONGOZI NA UTAFITI
WANAWAKE WAHAMASISHWA KUVISHINDA VIKWAZO KATIKA MASUALA YA UONGOZI NA UTAFITI
March 21, 2025, 8:35 a.m.
MZUMBE KUIMARISHA USHIRIKIANO NA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA
MZUMBE KUIMARISHA USHIRIKIANO NA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA
March 21, 2025, 8:29 a.m.
BW. JUMA ZUBERI HOMERA AFANIKIWA KUTETEA TASNIFU YAKE YA UZAMIVU CHUO KIKUU MZUMBE
BW. JUMA ZUBERI HOMERA AFANIKIWA KUTETEA TASNIFU YAKE YA UZAMIVU CHUO KIKUU MZUMBE
March 17, 2025, 4:35 p.m.
CHUO KIKUU MZUMBE CHASHIRIKI KIKAO CHA TATHMINI YA MRADI WA HEET KITAIFA
CHUO KIKUU MZUMBE CHASHIRIKI KIKAO CHA TATHMINI YA MRADI WA HEET KITAIFA
March 13, 2025, 10:44 a.m.
WAHADHIRI WA SKULI YA BIASHARA CHUO KIKUU MZUMBE WATOA ELIMU YA FURSA ZA MASOMO KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI
WAHADHIRI WA SKULI YA BIASHARA CHUO KIKUU MZUMBE WATOA ELIMU YA FURSA ZA MASOMO KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI
March 12, 2025, 8:33 a.m.
WATUMISHI WAPYA WAPIGWA MSASA MATUMIZI YA MIFUMO YA TEHAMA
WATUMISHI WAPYA WAPIGWA MSASA MATUMIZI YA MIFUMO YA TEHAMA
March 10, 2025, 8:19 a.m.
KUIMARISHA UWEZO WA KITAIFA WA UFUATILIAJI NA TATHMINI INACHAGIZA DIRA YA MAENDELEO 2050, DKT. MILANZI.
KUIMARISHA UWEZO WA KITAIFA WA UFUATILIAJI NA TATHMINI INACHAGIZA DIRA YA MAENDELEO 2050, DKT. MILANZI.
March 6, 2025, 8:19 a.m.
SEMINA YA KUENDELEZA UWEZO WA TATHMINI TANZANIA 2025: MUSTAKABALI WA TATHMINI
SEMINA YA KUENDELEZA UWEZO WA TATHMINI TANZANIA 2025: MUSTAKABALI WA TATHMINI
March 6, 2025, 8:15 a.m.
WAJUMBE WA MENEJIMENTI YA MZUMBE WANOLEWA KATIKA USIMAMIZI WA UNUNUZI WA UMMA KUPITIA MFUMO WA NeST
WAJUMBE WA MENEJIMENTI YA MZUMBE WANOLEWA KATIKA USIMAMIZI WA UNUNUZI WA UMMA KUPITIA MFUMO WA NeST
March 4, 2025, 11:02 a.m.
PROF. MWEGOHA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI KAMPASI MPYA - TANGA
PROF. MWEGOHA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI KAMPASI MPYA - TANGA
Feb. 28, 2025, 8:37 a.m.
MWANAFUNZI WA MZUMBE BI. PRISILA KESSY AIBUKA KIDEDEA TUZO ZA TEHAMA 2025
MWANAFUNZI WA MZUMBE BI. PRISILA KESSY AIBUKA KIDEDEA TUZO ZA TEHAMA 2025
Feb. 24, 2025, 8:53 a.m.
CHUO KIKUU MZUMBE CHAWAJENGEA UWEZO WANAFUNZI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI
CHUO KIKUU MZUMBE CHAWAJENGEA UWEZO WANAFUNZI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI
Feb. 13, 2025, 11:02 a.m.
CHUO KIKUU MZUMBE CHAKABIDHI VIFAA VYA KUTENGENEZA MAUDHUI MTANDAONI KWA TAASISI ZISIZO ZA KISERIKALI (LEVO NA MOROGORO PARALEGAL CENTRE)
CHUO KIKUU MZUMBE CHAKABIDHI VIFAA VYA KUTENGENEZA MAUDHUI MTANDAONI KWA TAASISI ZISIZO ZA KISERIKALI (LEVO NA MOROGORO PARALEGAL CENTRE)
Feb. 11, 2025, 2:41 p.m.
CHUO KIKUU MZUMBE MSHINDI WA PILI, TUZO ZA WALIPA KODI BORA KWA MWAKA 2023/24 MOROGORO
CHUO KIKUU MZUMBE MSHINDI WA PILI, TUZO ZA WALIPA KODI BORA KWA MWAKA 2023/24 MOROGORO
Feb. 11, 2025, 2:37 p.m.
CHUO KIKUU MZUMBE CHAFANYA KONGAMANO LA WANAFUNZI WA USIMAMIZI WA MIFUMO YA AFYA
CHUO KIKUU MZUMBE CHAFANYA KONGAMANO LA WANAFUNZI WA USIMAMIZI WA MIFUMO YA AFYA
Feb. 11, 2025, 2:13 p.m.
WANAFUNZI WA CHUO KIKUU MZUMBE WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA)
WANAFUNZI WA CHUO KIKUU MZUMBE WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA)
Feb. 8, 2025, 9:01 a.m.
KAMATI YA UENDESHAJI WA MRADI WA HEET YAKAGUA UJENZI NDAKI YA TANGA
KAMATI YA UENDESHAJI WA MRADI WA HEET YAKAGUA UJENZI NDAKI YA TANGA
Feb. 5, 2025, 8:34 a.m.
WANAFUNZI WA CHUO KIKUU MZUMBE WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO KIWANDA CHA SUKARI MKULAZI
WANAFUNZI WA CHUO KIKUU MZUMBE WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO KIWANDA CHA SUKARI MKULAZI
Jan. 31, 2025, 3:42 p.m.
CHUO KIKUU MZUMBE CHASHIRIKI UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA
CHUO KIKUU MZUMBE CHASHIRIKI UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA
Jan. 26, 2025, 11:08 p.m.
MZUMBE MBIONI KUANZISHA KAMPASI MWANZA
MZUMBE MBIONI KUANZISHA KAMPASI MWANZA
Jan. 15, 2025, 10:12 a.m.
KONGAMANO LA TAALUMA ZA MAENDELEO LAANGAZIA MAHITAJI YA DUNIA INAYOBADILIKA
KONGAMANO LA TAALUMA ZA MAENDELEO LAANGAZIA MAHITAJI YA DUNIA INAYOBADILIKA
Dec. 11, 2024, 10:08 a.m.
RAIS MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA KATIKA UONGOZI KWENYE MAHAFALI YA 23 YA CHUO KIKUU MZUMBE MKOANI MOROGORO
RAIS MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA KATIKA UONGOZI KWENYE MAHAFALI YA 23 YA CHUO KIKUU MZUMBE MKOANI MOROGORO
Nov. 25, 2024, 1:54 p.m.
24TH CONVOCATION ANNUAL GENERAL MEETING
24TH CONVOCATION ANNUAL GENERAL MEETING
Nov. 18, 2024, 7:06 a.m.
DKT. SHEIN APOKEA TAARIFA YA MAENDELEO YA CHUO KIKUU MZUMBE
DKT. SHEIN APOKEA TAARIFA YA MAENDELEO YA CHUO KIKUU MZUMBE
Nov. 6, 2024, 7:57 p.m.
WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA, PROF. ADOLF MKENDA AKUTANA NA MWENYEKITI WA BARAZA NA MENEJIMENTI YA CHUO KIKUU MZUMBE
WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA, PROF. ADOLF MKENDA AKUTANA NA MWENYEKITI WA BARAZA NA MENEJIMENTI YA CHUO KIKUU MZUMBE
Nov. 1, 2024, 1:15 p.m.
TAARIFA MUHUMU, MAHAFALI YA 23 YA CHUO KIKUU MZUMBE KAMPASI KUU KUFANYIKA SIKU YA JUMAPILI 24 NOVEMBA, 2024
TAARIFA MUHUMU, MAHAFALI YA 23 YA CHUO KIKUU MZUMBE KAMPASI KUU KUFANYIKA SIKU YA JUMAPILI 24 NOVEMBA, 2024
Oct. 31, 2024, 9:09 a.m.
MZUMBE NA IORA KUIBUA FURSA ZA KIUCHUMI, UHIFADHI RASILIMALI BAHARI
MZUMBE NA IORA KUIBUA FURSA ZA KIUCHUMI, UHIFADHI RASILIMALI BAHARI
Oct. 24, 2024, 2:07 p.m.
WITO WA KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA
WITO WA KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA
Oct. 19, 2024, 10:10 a.m.
UNDP RESIDENT REPRESENTATIVE VISITS MZUMBE UNIVERSITY TO FOSTER COLLABORATION
UNDP RESIDENT REPRESENTATIVE VISITS MZUMBE UNIVERSITY TO FOSTER COLLABORATION
Sept. 26, 2024, 6:21 p.m.
CHUO KIKUU MZUMBE YATWAA TUZO MBILI KATIKA KONGAMANO LA KIMATAIFA NCHINI KYRGYZSTAN
CHUO KIKUU MZUMBE YATWAA TUZO MBILI KATIKA KONGAMANO LA KIMATAIFA NCHINI KYRGYZSTAN
Sept. 26, 2024, 6:14 p.m.
CHUO KIKUU MZUMBE CHASAINI HATI YA MAKUBALIANO NA USHIRIKIANO NA CHUO KIKUU CHA BONN
CHUO KIKUU MZUMBE CHASAINI HATI YA MAKUBALIANO NA USHIRIKIANO NA CHUO KIKUU CHA BONN
Aug. 18, 2024, 7:53 p.m.
MCHANGO WA ELIMU YA JUU KATIKA KUIMARISHA SEKTA YA KILIMO
MCHANGO WA ELIMU YA JUU KATIKA KUIMARISHA SEKTA YA KILIMO
Aug. 9, 2024, 10:32 a.m.
RAIS SAMIA AAHIDI KUUNGA MKONO JITIHADA ZA MAENDELEO CHUO KIKUU MZUMBE
RAIS SAMIA AAHIDI KUUNGA MKONO JITIHADA ZA MAENDELEO CHUO KIKUU MZUMBE
Aug. 5, 2024, 10:53 p.m.
MKUU WA WILAYA YA TANGA ATOA RAI KWA WANANCHI KUJIENDELEZA KIELIMU KUPITIA CHUO KIKUU MZUMBE
MKUU WA WILAYA YA TANGA ATOA RAI KWA WANANCHI KUJIENDELEZA KIELIMU KUPITIA CHUO KIKUU MZUMBE
June 4, 2024, 10:14 p.m.
APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO VARIOUS DIPLOMA AND CERTIFICATE PROGRAMMES FOR THE 2024/2025 ACADEMIC YEAR
APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO VARIOUS DIPLOMA AND CERTIFICATE PROGRAMMES FOR THE 2024/2025 ACADEMIC YEAR
May 11, 2024, 1:30 p.m.
CALL FOR APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO POSTGRADUATE PROGRAMMES FOR THE 2024/2025 ACADEMIC YEAR
CALL FOR APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO POSTGRADUATE PROGRAMMES FOR THE 2024/2025 ACADEMIC YEAR
May 11, 2024, 1:24 p.m.